MATUKIO

  • 23

    July

    Kampeni ya Usafi wa mazingira

    Kampeni maalum kwaajili ya kuhimiza usafi wa mazingira

  • 23

    Aug

    Kikao Cha wana jumuiya

    Kikao cha dharura cha wanajumuiya kinatarajiwa kufanyika

  • 23

    Sept

    Mkutano mkuu wa mwaka

    Mkutano wa mwisho wa kufunga mwaka, utajadili maendeleo na changamoto mbalimbali

Soma zaidi..

HABARI

  • ...
    Usafi wa mazingira

    Leo tulipata nafasi ya kufanya usafi wa mazingira katika jiji la Dar es Salaam

  • ...
    Uchangiaji damu

    Umoja wa vijana leo umeweza kuchangia damu katika hospitali mbalimbali

  • ...
    Utalii wa ndani

    Siku ya leo tumeanza riara ya kutembelea mbuga za wanyama za ndani ya nchi

Soma zaidi..

80%

Serikali ya chama cha mapinduzi imefanikiwa kutimiza ilani yake kwa zaidi ya asilimia 80

Nia na uwezo wa CCM wa kuendeleakuongoza Taifa hili unajidhihirisha katika uzoefu ambao tumeupata kwa miaka 38 tangu kuanzishwa kwake na kuwa madarakani, ambapo katika kipindi chote hiki kimeiwezesha nchi yetu kupata mafanikio makubwa katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Katika kipindi cha miaka mitano (2015-2020),CCM ikiwa madarakani,imezielekeza Serikalizake kutumia nguvu zake zote kuendelea kupambana na kufanikiwa kwa asilimia kubwa katika changamoto kubwa nne: -Kwanza kuondoa umaskini; pilikupunguza tatizo la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana; tatukuendeleza vita dhidi ya adui rushwa na ubadhirifu wa mali ya umma; na nnekuendelea kudumisha amani, ulinzi na usalama wa maisha ya wananchi na mali zao.

MIRADI YA MAENDELEO

Baadhi ya miradi ya maendeleo iliyo tekelezwa na inayoendela kutekelezwa na serikali ya wamu ya tano ya chama cha mapinduzi ikiongozwa na Mh. Rais John Pombe Magufuli

VIJANA KATIKA UONGOZI

Baadhi ya vijana walio eteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na Mh. Rais Katika awamu ya tano ya uongozi

MAFANIKIO

Baadhi ya miradi ya maendeleo iliyo tekelezwa na inayoendela kutekelezwa na serikali ya wamu ya tano ya chama cha mapinduzi ikiongozwa na Mh. Rais John Pombe Magufuli

450+

Miradi ya maendeleo

45+

Kampeni Mbalimbali

72+

Vijana Kwenye Uongozi

150+

Miradi ya Vijana


KAMPENI ZILIZOFANYIKA

Baadhi ya kampeni tulizozifanya hivi karibuni kwa tutembelea maeneo tofauti tofauti katika nchi yetu, kwa kuchangia damu, kufanya shughuli za kijamii, kutembelea mbuga za wanyama nakadhalika.